iqna

IQNA

rais hassan rouhani
Rais Rouhani katika Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisiloyumkinika kwa taifa hili kufanya mazungumzo na adui likiwa chini ya mashinikizo na vikwazo vya kidhalimu na vilivyo kinyume cha sheria.
Habari ID: 3472147    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26

Katika Sala ya Ijumaa Hyderabad, India
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3471393    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/16

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.
Habari ID: 3470559    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/12